Isaiah 3:18-23

18 aKatika siku ile Bwana atawanyang’anya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo, 19 bvipuli, vikuku, shela, 20 cvilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi, 21 dpete zenye muhuri, pete za puani, 22 emajoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha, 23 fvioo, mavazi ya kitani, taji na shali.
Copyright information for SwhKC